ニュース

"Nadhani hakuna Ebola nchini Uganda." Hayo ni maneno ya Battle Kay, kama anavyojulikana mtandaoni - mwenye umri wa miaka 28 anayeishi katika mji mkuu, Kampala, na anatengeneza video za mitandao ya ...
Mlipuko wa Ebola nchini Uganda unaonekana kuwa mgumu zaidi kukabiliana nao kuliko milipuko ya hivi karibuni, lakini Rais Yoweri Museveni amekataa wito wa kuweka karantini maeneo yaliyoathirika zaidi.
Uganda leo imetangaza rasmi mwisho wa mlipuko wa hivi karibuni wa homa ya Ebola, ikiwa ni chini ya miezi mitatu baada ya virusi hivyo kuthibitishwa katika mji mkuu Kampala limesema Shirika la Afya la ...