Nuacht

AC Milan wamewaambia wawakilishi wa Real Madrid na Bayern Munich kuwa inahitajika Euro 130 milioni ili kuipata saini ya ...
Arsenal na RB Leipzig zimeanza mazungumzo kwa ajili ya uwezekano wa uhamisho wa mshambuliaji Benjamin Sesko katika dirisha ...
Hatimaye PSG imevunja laana ya miaka mingi kwa kutwaa kwa mara ya kwanza katika historia yao taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya ...
Leo saa 2:00 usiku macho ya wapenzi wa soka barani Afrika yatakuwa kwenye Uwanja wa June 30 jijini Cairo, Misri ambapo Pyramids FC itawakaribisha Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini katika ...
Kwa sasa MwanaFA ana miaka zaidi ya 20 ndani ya Bongofleva tangu alipotoka 2002, lakini alikuwepo kwenye gemu tangu 1996 ...
Uchunguzi wa Mwananchi, maduka ya dawa, taasisi za fedha, baadhi ya hoteli, baa na ushushaji wa mizigo kutoka kwenye malori, ndizo shughuli pekee zinazofanywa kwa saa 24 sokoni Kariakoo.
Kwa mfano, kuna chawa mmoja wa kiume aliwahi kusema, kama angekuwa na uwezo wa kumzalia bosi wake, angemzalia watoto watatu.
Matajiri wa Saudi Arabia, Al-Hilal wanadaiwa kuwasilisha ofa nyingine mpya na kumpa muda zaidi kiungo wa Manchester United, Bruno Fernandes kufikiria na kuamua ikiwa atakuwa tayari kujiunga ...
Wakati Tanzania Prisons ikiingia kambini leo Jumapili kuendelea na mazoezi kwa ajili ya mechi zilizobaki kukwepa presha ya play off, viongozi wameamua kuitana haraka kuimaliza Yanga.
Tanzania haijawahi kuwa na uhaba kivile wa marapa wa kike. Japo sio wengi, lakini wanajaa kwenye orodha. Tumewahi kuwa na ...
Mabosi wa Real Madrid wametua kwa beki wa kushoto wa Arsenal Myles Lewis-Skelly na wanataka kumsajili katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Katika makala haya nina kwenda kukuchambulia kwa kifupi matarajio manne ambayo yameonekana kuwaumiza wapenzi wengi.